IQNA – Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Imam Sadiq (AS) nchini Iran ameelezea Sira na mafundisho ya Mtume Muhammad (S.A.W.) kuhusu ulinzi wa mazingira, ikiwemo yale yanayohusu kutotumia maji ovyo.
Habari ID: 3481149 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/28
Ukweli katika Qur'ani Tukufu / 8
TEHRAN (IQNA) – Kuna uwiano maridadi katika maumbile katika maeneo mbalimbali, kwa mfano kati ya kiasi cha oksijeni anachopokea binadamu na kiasi kinachotolewa na mimea na pia kati ya kaboni dioksidi iliyotolewa na binadamu na ile inayotumiwa na mimea.
Habari ID: 3476190 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/03